PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI
PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI By theostar Kwa mawasiliano zaidi 0692-794942 0654-105503. SEHEMU YA 15 Ilipoishia sehemu ya kumi na nne (14).................. " Hayawi hayawi sasa yamekuwa" kweli yamekuwa, sijui nitamweleza nini mzee John?, nitamwanzaje?, na je itakuaje siku akija kujua?", maswali mengi yaliyokosa majibu yalikizonga kichwa changu, yalinifanya nishindwe kustahimili ile hali ya kubaki pale sebuleni. Nilizima runinga na kuingia chumbani kwangu kujilaza kitandani labda huko nikiwa usingizini ndiyo naweza kupata majibu ya maswali yangu..................... SASA ENDELEA Jenny baada ya kumaliza kupika chakula, alikitenga mezani na kuja kuniita kule chumbani kwangu. "Mbona um...