Posts

Showing posts from November 12, 2018

PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI.

Image
                                              PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI By theostar Kwa mawasiliano zaidi 0692-794942 0654-105503     SEHEMU YA 3     Ilipoishia sehemu ya pili (2)......  Tukiwa tunakunywa juisi mimi na Jenny, mama alisimama na kusema "ngoja nikuache mwanangu niandae chakula"... "sawa aunty" (Jenny alijibu), mama alielekea jikoni tayari kuandaa chakula na kutuacha pale wenyewe tukiwa wawili tu............. SASA ENDELEA            Kimya kilitawala kwa muda kidogo huku kila mmoja akiwa anausikilizia utamu wa ile juisi. "Daah juisi ni tamu aisee" (Jenny alianza kuongea na kuuvunja ukimya).... "ni utaalamu wangu huo" (nilimjibu Jenny kwa kujisifu).... "Mmmmmmh ujue kutengeneza juisi hivi, ulinge" (Jenny alinibeza).... (nikacheka kidogo na kumuuliza) "kwahiyo Jenny huamini?" "nitakuaminije mt...

PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI.

Image
                                              PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI  By theostar  Kwa mawasilino zaidi 0692-794942 0654-105503     SEHEMU YA 2     Ilipoishia sehemu ya kwanza (1).......  Nilishindwa kujizuia kuonyesha tabasamu la furaha mbele yake, wakati huo nikiwa nimemduwaza yule msichana kwa kunishangaa, kwanini nimekuwa kwenye hali ile............  SASA ENDELEA....     "Kwahiyo wewe unaitwa Jennifer?"....  "Wewe"!! (yule msichana alistaajabu baada ya kulitaja jina lake, na kuniuliza) wewe umelijuaje jina langu?.... (Nilicheka kidogo kwa furaha, na kumwambia), nijibu kwanza.... "Ndiyo" (yule msichana alinijibu kwa kufupi)....     Nikiwa mwenye furaha iliyodhihilika mbele ya macho yake na yeye akiwa ameduwaa akishindwa kukiamini kinachoendelea pale. " Dah kweli leo nimeamini k...