PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI

PENZI LA MTOTO WA SHANGAZI By theostar Kwa mawasiliano zaidi 0692-794942 0654-105503. SEHEMU YA 23 ilipoishia sehemu ya ishirini na mbili (22).................... Kwa pamoja tulianza kula chakula baada ya mimi kutoka mle bafuni nilipomaliza kuoga. "Unajua pale sijakuelewa mme wangu".... "hujanielewa nini?".... "kwanini umeamua kutaja majina ya uongo?" (Jenny aliniuliza tukiwa tunaendelea kula).................. SASA ENDELEA (Nilicheka kidogo baada ya kulisikia lile swali aliloniuliza Jenny).... "sasa mbona unacheka?".... "hapana mke wangu!, nimeamua tu kufanya vile kwa sababu ya kujiimalishia usalama wetu",.... "mmmmh, bado sijakuelewa mme wangu kuwa unamaanisha nini kusema hivyo".... (nilinyamaza kidogo) "nasema hivyo kwa s...